Fundi simu kwa computer

Fundi simu kwa computer

Inashida gani cm ako? Maana circuit cjajua ni circuit ya chaj au circuit Yann!
Simu yangu ina mawenge haya.

Ikiwa kwenye lock mtu akipiga nikipokea inazima na kuwaka.

Nikipiga simu upande wa pili ukipokea simu inazima na kuwaka.

Nikiwa kwenye menu nikishika icon ya app ili niwe kama naibadilisha hapo ilipo simu inawaka na kuzima.

Nikaamua niiflash. Fundi akasema bootloader ipo locked, lakini tukiwa tunaendelea na zoezi la kuunlock akaona betri langu ni chenga.
Akaniambia nibadilishe betri pengine ndiyo shida.

Badala ya kubadilisha betri mi nataka mashine nzima nihamishie tu hii display yangu.
 
Simu yangu ina mawenge haya.

Ikiwa kwenye lock mtu akipiga nikipokea inazima na kuwaka.

Nikipiga simu upande wa pili ukipokea simu inazima na kuwaka.

Nikiwa kwenye menu nikishika icon ya app ili niwe kama naibadilisha hapo ilipo simu inawaka na kuzima.

Nikaamua niiflash. Fundi akasema bootloader ipo locked, lakini tukiwa tunaendelea na zoezi la kuunlock akaona betri langu ni chenga.
Akaniambia nibadilishe betri pengine ndiyo shida.

Badala ya kubadilisha betri mi nataka mashine nzima nihamishie tu hii display yangu.
Pole ndugu, kuflash sio sababu yakuzima cm kipindi chakupiga cm, ningependa kuiona Kwanza niifanie check-up. Nakama kweli inatakiwa kubadilisha mashine nitakuambia tufanyeje
 
Mi naomba nikuulize tu,
Bei zako ni bei za soko au nafuu kuliko bei za soko?
kua mkweli
 
NNA SAMSUNG J320AZ UD SIM,SIM ILIKUJA MPYA TOKA NJE.....TATIZO BABA MKWE ALIKALIA SIM IKAJIZIMA NILIPELEKA KWA FUNDI MMOJA ANADAI MASHINE IMEKUFA....
LAKINI MBONA MWANZONI ILIKUWA NIKIWEKA CHAJI SIM ILIKUWA INASTUKA(VIBRATE)
JE TATIZO NI NINI?KIOO PIA HAIONESHI

OVA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom