teelyz
Member
- Nov 14, 2018
- 45
- 44
Fundi mzoefu wa nguo za kike mitindo mbalimbali anahitajika
Vigezo
Miaka 18_25
@anayejituma
Sent using Jamii Forums mobile app
Vigezo
Miaka 18_25
@anayejituma
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa 18 hadi 25 unataka umuoe? Kwa umri huo uzoefu kapata wapi??Fundi mzoefu wa nguo za kike mitindo mbalimbali anahitajika
Vigezo
Miaka 18_25
@anayejituma
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa 18 hadi 25 unataka umuoe? Kwa umri huo uzoefu kapata wapi??



naowaje mwanamke mwenzangu afu kama ww umejifunza kushona ukubwani sio wote watu wameanza kushona darasa la tatu sembuse miaka 18 mpaka 25 mimi nnaye hitaji fundi sijafika hata 24 nijiri fundi mtu mzima sana ili iweje???naowaje mwanamke mwenzangu afu kama ww umejifunza kushona ukubwani sio wote watu wameanza kushona darasa la tatu sembuse miaka 18 mpaka 25 mimi nnaye hitaji fundi sijafika hata 24 nijiri fundi mtu mzima sana ili iweje???
Sent using Jamii Forums mobile app




vipi mzima lakiniNaomba tuwasiliane nina ndugu yangu ambae ni fundi nguo za kike,, ana uzoefu wa karibu mwaka sasa,umri 21,,, nchek kwa namba 0658925880,Fundi mzoefu wa nguo za kike mitindo mbalimbali anahitajika
Vigezo
Miaka 18_25
@anayejituma
Sent using Jamii Forums mobile app