Yani hivyo tu ndo tangazo tayari?? Ngoja nikusdie ..uwage unaweka hata na kazi ulizowahi kufanya awali ..ili mtu aweze jua hata uwezo wako katika ujuzi huoo.. Yamkini anaweza kushawishika ..ingawa picha unaweza iba kokote tu ila inaweza saidia hamasisha watu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.