Enyi magwiji wa Lugha ya Kiswahili, mnaweza kulifumbua fumbo hili?
"Uhai wangu hulingana na umbo langu, na huo uhai wangu hutegemea uhai wa
mtu mwengine."
Enyi magwiji wa Lugha ya Kiswahili, mnaweza kulifumbua fumbo hili?
"Uhai wangu hulingana na umbo langu, na huo uhai wangu hutegemea uhai wa
mtu mwengine."