Naona baada ya kupigwa lupango umerudi na adabuNa si ni jambo la heri Askari wetu kurudi au wewe ulitaka waendelee kubakia huko?
Mkuu kagame hanaga hilo,yeye ni maslahi ya taifa kwanzaSuala la huyo Bwana kufanya uhaini na kujificha Rwanda naona kama limeshasahaulika ila kidiplomasia linapotezewa. Hapo ujue huu urafiki na Rwanda ni wa mashaka sana, ilitakiwa Rwanda imrejeshe huyo mtuhumiwa kama kweli kuna urafiki usio na mashaka. Pia Rwanda iende mbali zaidi kwa kuonyesha kivitendo kwamba imesitisha misaada kwa wapiganaji wa M23.
Mkuu heshima kwako.Umejadili hoja au Umejadili mtu au hoja yake haijibiki umeamua kuikwepa kimtindo, umeamua kuwa mbuni mkuu
Kama una muda pitia hizi taarifa:Nini chanzo cha uhasama kati ya JK na PK?
Mkuu upo sahihi kabisa, ila bado nayakumbuka sana maneno ya Mzee Kingunge wakati wa kampeni, na sijui alijuaje. Alisema, namnukuu."Nchi hii inahitaji kiongozi na siyo nyap........ Malizieni wenyewe. Sina milion 7 za kulipa mie.Jamhuri moja ya KUFIKIRIKA ina wanajeshi wake nchi jirani, magharibi. Huko nchi jirani kuna nchi jirani nyengine inasaidia waasi ambao Jamhuri ya KUFIKIRIKA imeenda kupambana nao kwa ombi la Umoja wa Mataifa. Amiri Jeshi Mkuu mpya wa KUFIKIRIKA ana mahusiano ya karibu sana na Amiri Jeshi Mkuu wa Nchi ambayo inasaidia waasi wanaopigana na Askari wa KUFIKIRIKA.
Ari ya Wapiganaji itakuwa chini sana na kitakachofuata ni urafiki wa wakubwa kutamalaki na maslahi ya nchi kuwekwa pembeni. Madhara yake hayaelezeki...
Sasa hivi kazungukwa na kina mcubicMkuu heshima kwako.
Kipindi hiki tunapaswa kuambiana ukweli, Zitto anachokifanya kwa sasa ni kama amekata tamaa. Nikimwangali Mama Mwigira na Mkumbo nikama mamluki na hawana msaada wowote kwa Zitto na ndio maana kauli za Zitto hawazieshimu kama sio kuzisapoti.
Hii inamaanisha nini.... Zitto anamengi ya kuyafanya ili kuzisaidia siasa za Tanzania tatizo uwanga aliopo unambigiri na yeye viatu ni bidhaa hadimu
Nisome tena Mkuu.
Nimesema Zitto yupo sahii (ki hoja)
Ila kimaisha ya kisiasa kaporomoka sana, sana hii ni kutokana na kwamba siasa za karne hii zinaitaji taasisi na sio MTU mmoja.
Mwisho intake radhi sababu baba yangu ni marehemu (R I P) na alikuwa na hekima na busara na katu hakuwa mkurupukaji
Na Kama huyu ndugu yetu JPM hamjui vizuri Kagame aulize tu japo kwa marafiki zake, loura Nkunda yupo wapi? Na aulize juu ya urafiki wa Nkunda na Kagame uliishia wapi?. Baada ya hapo atafakari na achukue hatua zaidi. Tena amwulize JK. Ndiye anayejua vizuri.Mkuu kagame hanaga hilo,yeye ni maslahi ya taifa kwanza
Methinks, wakuu wakielewana jamaa ataacha kussuport wahasi. Na sisi kurudisha watoto wetu nyumbani kulinda mipaka yetu na kuachana na sitofahamu ya kupoteza maisha huko Congo? Ndio makubaliano ya mezani yanayotakiwa, ama zitto anataka jeshi letu kuendelea huko Congo ? Ili iweje ama nimnufaika?
Mkuu huoni kusema hivyo ni kumkosoa bwana mkubwa?N
Na Kama huyu ndugu yetu JPM hamjui vizuri Kagame aulize tu japo kwa marafiki zake, loura Nkunda yupo wapi? Na aulize juu ya urafiki wa Nkunda na Kagame uliishia wapi?. Baada ya hapo atafakari na achukue hatua zaidi. Tena amwulize JK. Ndiye anayejua vizuri.
Cc:mcubicKagame atamuwazisha sana Zitto
Hapa ndipo tunafahamu watu wanaingiwa na dawa ya serikali ya awamu ya tano. Kama kuja kufungua sabasaba ndio yameleta haya, huyu mtoa mada amechelewa kwani hata mwaka jana Kagame aliyafungua haya maonesho.Jamhuri moja ya KUFIKIRIKA ina wanajeshi wake nchi jirani, magharibi. Huko nchi jirani kuna nchi jirani nyengine inasaidia waasi ambao Jamhuri ya KUFIKIRIKA imeenda kupambana nao kwa ombi la Umoja wa Mataifa. Amiri Jeshi Mkuu mpya wa KUFIKIRIKA ana mahusiano ya karibu sana na Amiri Jeshi Mkuu wa Nchi ambayo inasaidia waasi wanaopigana na Askari wa KUFIKIRIKA.
Ari ya Wapiganaji itakuwa chini sana na kitakachofuata ni urafiki wa wakubwa kutamalaki na maslahi ya nchi kuwekwa pembeni. Madhara yake hayaelezeki...
Kagame alichukizwa na Uamuzi wa Jk kupeleka Askari Mashariki mwa Congo kuleta amani wakati Kagame anatumia eneo hilo kwa biashara ya Magogo ya Mninga asilia na Madini kwa kuchochea migogoro kwa kisingizio cha kusaka Interahamwe wa 1994.Nini chanzo cha uhasama kati ya JK na PK?