Full Time: Mwadui FC 2 - 2 Simba SC kutoka dimba la CCM Kambarage, Sinyanga

Aksante Nilijua kazimoto na yeye kaachwa Na Ndege! Then wankuja Ona Mpira Wake Mbovu Wankuja Mtoa Dakika Za Mwisho.
OK ndo Mpira Uo.
 
Halafu leo Vyura FC wamejitokeza sana kwenye thread hii, muda mwingine huwa mnaingia mitini, kumbe huwa mnaumia na 4G za Mnyama eeeh. Bado mnasafari ndefu kutufikia
 
Halafu leo Vyura FC wamejitokeza sana kwenye thread hii, muda mwingine huwa mnaingia mitini, kumbe huwa mnaumia na 4G za Mnyama eeeh. Bado mnasafari ndefu kutufikia
Bado kidogo tu, Train linakuja kwa kasi y'a ajabu
 
Aksante Nilijua kazimoto na yeye kaachwa Na Ndege! Then wankuja Ona Mpira Wake Mbovu Wankuja Mtoa Dakika Za Mwisho.
OK ndo Mpira Uo.
Mavugo ni mzito sana.
Mimi ningekuwa Mavugo, kila siku ningeamka saa 11 asubuhi naanza kujifua kwa kukimbia kwa saa moja na nusu ili kufungua kifua na kuondoa pumzi.
Mavugo inaoneka hata kwenye mazoezi anategea, ona uwanjani anavyotembea kama yuko mtaani. Huku wenzake akina Kichuya wanakimbia mda wote.
Mavugo bado ni mchezaji mzuri kama atajituma kufanya mazoezi binafsi ya nguvu.
La sivyo hastahili kuvaa jezi ya Simba msimu ujao.
 
Halafu leo Vyura FC wamejitokeza sana kwenye thread hii, muda mwingine huwa mnaingia mitini, kumbe huwa mnaumia na 4G za Mnyama eeeh. Bado mnasafari ndefu kutufikia
Yaani Wamejazana Hatari.Nimejikuta Nacheka kila Naposoma Comments Zao. Utazani Washachukua Ubingwa Tayari Lol!!! Hahahahah!
 
Asanteni Mwadui tunashukuru kwa kazi nzuri,hawa vilaza tumewazoea wanakomaa ila mwishoe wenye kombe letu tunanyanyua kama kawa ila Mikia mnakera sana kututegea kwenye ubingwa na sisi tunachoka jamani duh.
Hahahahahah!!! Dah!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…