Full body massage, karibu

Full body massage, karibu

Joined
Aug 18, 2016
Posts
47
Reaction score
26
*HAPPINESS MASSAGE SERVICES*
Tunatoa huduma bora za massage ndani ya Lamada Hotel & Apartments
Mbali na huduma za massage tunazo bidhaa zenye ubora wa hali ya juu katika kuponya maradhi sugu kama vile,
1.Kisukari
2. Magonjwa ya ngozi
a)Chunusi sugu (b)Mapunye (c)Mba (d)Fungus
3. Uvimbe wa mwili au viungo
4. Baridi ya mifupa
5.Kupooza
6. Uchovu na miwasho sugu
7.Maumivu ya mgongo
8.Kukosa hamu ya kula
9.Watoto waliopinda viungo
10.Kupunguza mwili na manyama uzembe
11.Ganzi ya miguu na viungo kutetemeka
12. Ukosefu wa nguvu za kiume.
13. Kukosa usingizi.
Tunapatikana Lamada hotel Ilala DSM manyara 27
MASSAGE MWILI MZIMA NI TSH.50,000/
TUPIGIE SASA
+255 715 343 161
+255 756 343 161
+255 787 343 161
_*Tunakuboreshea afya yako!!We bring back your happiness/ Tunarejesha furaha yako.*_
 
Nkisimamisha vipi, bei itapanda?
Au hakuna ile ya ongeza 20k upate kila kitu...
 
ule uzi mwingine uliukimbia ukafungua huu? hauko serious ndugu yangu.

@Mods wauunganishe tuu maana hamna namna nyingine.
 
Massage ni muhimu sana hata kama husumbuliwi na magonjwa hayo. Husaidia sana katika kuongeza mtiririko mzuri wa damu katika mwili wa binadamu na hivyo kuondoa uchovu wowote uliokuwepo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom