Friend match inatoa mwanga wa timu yako ilivyo, kimbinu na kiufundi, kichaka cha friend match usingekisema kama ungeshinda, uyo kocha anajua timu yake Ina kibarua kwa maana anavyocheza ligi ndio ivyo ivyo anavyoaproach kucheza mechi za kimataifa ni tatizo mtakuja kumkataa siku sio nyingi, mbinu hana uyu kocha wenu ni empty!