Tukumbuke tu kuwa huyu USMA ndiye bingwa wa mashindano ya vibonde watu waliidharau sana timu zinazoshiriki kombe la shirikisho kuwa hazina ubora ni timu dhaifu. Tunaendelea kuona vipimo hapa, super cup ya msimu uliopita ilienda kwa bingwa wa vibonde ( bingwa wa CAF confederation cup)