kila m2 anawez kuwa na jibu tofauti kwa atakavyoiona, ila kwa upande wa wakufunz watajifanya kama wafalme kila ki2 watataka kiende kama wanavyotaka, ila wanachuo watakuwa wanapata adha xan...na mwanachuo atapata matokeo mazur pale 2 hana choko na mkufnz.