zilikuw kampeni za kujisifia tu,
ooh! rais nampata wkt wwte nipeni kura.
anaeneza kufahamiana na kujuana au connection ndio uhudumiwe na serikal ya pombe,
badal ya kutoa haki kwa raia.
******** hovyo
ccm mnawachangish wanyinge wenu na kupiga hela
ARUSH tutaharibu sana kumkosa LEMA.
LEMA JUUUU