From Muriet Arusha with Love. - Mrisho Gambo

Huku muriet si ndio kuna makazi ya Gambo?ndiko alikokuwa amepanga jimbo la arusha mjini litenganishwe ili agombee jimbo hili au?
 
Ni dhambi watu wa Arusha kuipigia kura ccm
Alafu nyie watu ambao sio watu wa Arusha humu ndio mnakuwa mashabiki wa Lema..Lema hapa mjini amekuwa mzigo kama furushi la mchanga...watu waarusha wameshamtua siku nyingi..tunasubiri muda tu.
 
Nauliza ndio kaanza leo kampeni???

tupe za mikutano mingine
 
zilikuw kampeni za kujisifia tu,
ooh! rais nampata wkt wwte nipeni kura.
anaeneza kufahamiana na kujuana au connection ndio uhudumiwe na serikal ya pombe,
badal ya kutoa haki kwa raia.
******** hovyo
ccm mnawachangish wanyinge wenu na kupiga hela
ARUSH tutaharibu sana kumkosa LEMA.
LEMA JUUUU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…