Fridge inauzwa

Fridge inauzwa

Ronee

Senior Member
Joined
Jun 1, 2018
Posts
155
Reaction score
155
Wakuu salaam,

Kifaa tajwa hapo juu kiko sokoni kwa bei ya laki 2 tu. Kinapatikana Dodoma. Ni fridge nzima na haina dosari yoyote, sababu ya kuuza ni dharura tu ya pesa.

Nipigie simu kwa 0687 332088
Karibuni.
IMG_20180531_165103.jpg
IMG_20180531_165135.jpg
 
Mkuu
Sasa Umeanza Kuharibu Biashara Yako
Thread Nyingi Za Nini Wakati Tayari Kuna Thread Nzuri Sana Picture Umeweka Nadhani Utaanza Kupokea Simu Za Biashara

Samahani Iwapo Nimekukwaza Maana
 
kula 120000 hiyo 80 nitumie kuisafirisha
 
Mkuu
Sasa Umeanza Kuharibu Biashara Yako
Thread Nyingi Za Nini Wakati Tayari Kuna Thread Nzuri Sana Picture Umeweka Nadhani Utaanza Kupokea Simu Za Biashara

Samahani Iwapo Nimekukwaza Maana
Mkuu ulichosema ni kweli lkn changamoto ilikuwa ktk kuapload picha ndio ktk kujaribu ndio nikajikuta nimefungua Uzi mwingine..basi nikaona si vby nikipeleka picha ktk Uzi wa awali.
 
Mkuu
Sasa Umeanza Kuharibu Biashara Yako
Thread Nyingi Za Nini Wakati Tayari Kuna Thread Nzuri Sana Picture Umeweka Nadhani Utaanza Kupokea Simu Za Biashara

Samahani Iwapo Nimekukwaza Maana
Mkuu
Sasa Umeanza Kuharibu Biashara Yako
Thread Nyingi Za Nini Wakati Tayari Kuna Thread Nzuri Sana Picture Umeweka Nadhani Utaanza Kupokea Simu Za Biashara

Samahani Iwapo Nimekukwaza Maana
Mkuu, Uzi wa awali haukuwa na picha na wadau wamenisakama sana. poleni kwa usumbufu uliojitokeza!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom