Click Hapa
JF-Expert Member
- Jan 27, 2013
- 479
- 210
good idea watakuja tu subiri
Sikuwah kujua kama kuna friji inatumia mafuta ya taaHabari za jioni Wadau!
Miye ni Mjasiriamali nipo Mwanza, ktk pitapita zangu huku na huko kusaka fursa nimepita center moja huko vijijini imechangamka kweli, kwa kuwa ilikuwa mchana na kajua kalikuwa kamewaka ka kutosha ikabidi nile pozi sehemu ili angalau nipate soda au juice baridi, nilipouliza tu nikaambiwa vinywaji vilivyopo ni vya moto kwa kuwa center hiyo haina umeme, hapo hapo nikawa nimeiona fursa ya kuuza cold drinks center ile na kwa jinsi palivyochangamka najua nita-make tu.
Sasa naomba kwa yeyote mwenye kujua anisaidie ni wapi nitapata zile Fridge ama Freezer zinazotumia mafuta ya taa, na je ni bei gani zinauzwa na kwa size gani.
Mniwie radhi kwa maelezo marefu nimeyaeleza haya yote ili kuweka mambo sawa.
Natanguliza shukurani.
Mkuu shukurani kwa ushauri, sasa hizi fridge za solar zinapatikana wapi? Waweza kunipa contact za dealers?
Zara Enterprise; wako karibu na Msikiti wa Ijumaa; ndo magwiji kwa huduma za Solar
msikiti wa ijumaa uko maeneo gani?
Siju nianzie wapi kukuelekeza ....
Kati ya sehemu hizi ni ipi unaijua?
1. Soko kuu Mwanza karibu na stand ya tax / daladala
2. Barabara ya Nyerere karibu na duka la semira,
3. Stanbic bank ....
nasubiri majibu yako nikupe maelekezo ...
Friji ya mafuta ya taa ni old fashion na kwa sasa hazipo tena. Ni frji ambazo zinatumia gas aina ya ammonia ambayo si nzuri kiafya na mazingira. Ambapo mafuta ya taa hutumika ku heat ammonia. Baadae walitoka kwenye mafuta ya taa na mbadala wake wakatumia heater ambako ulikuwa unachomeka kwenye umeme. Lakini gas ya ammonia haitumiki tena kwenye industry ya refrigeration na AC badala yake inatumika R 600a R 134a na zingnezo na hata R 12 nayo imepigwa marufuku.
Cha muhimu ni kutafuta solar kama alivyosema mdau.
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
Zara Enterprise; wako karibu na Msikiti wa Ijumaa; ndo magwiji kwa huduma za Solar
karne ya 21 ,unaulizia friji ya mafuta ya taa?
mi niko dar
Duuh kuna friji za mafuta ya taa?? Hii kwangu mpya