Frem kubwa ya biashara inapangishwa ipo Buguruni

Frem kubwa ya biashara inapangishwa ipo Buguruni

Akiri

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2010
Posts
1,445
Reaction score
217
Ipo Buguruni njia ya kwenda kwa mnyamani kituo cha msikitini, ipo pembeni ya barabara ya lami, eneo ni la biashara maduka mengi yapo inaukubwa wa ambao unaweza kugawanya mara mbili bei 300,000 kwa mwezi anachukua mpaka miezi 6.

Mimi ni dalali 0657145555
 
Nimependa sana Akiri umevyopost.
Kwanza maelezo umejitahidi kuweka sawa.
Umechonifurahisha sana umeweka wazi kabisaa kwamba wewe ni Dalali.
Maana wapo wenzenu wanawaharibia kazi,unakuta mtu anasema Frame yake,ukienda unashangaa unakuta msururu wa watu teleee.Kumbe mwenyewe ni dalali.
Kwa maeneo yale bei sio mbaya sana kama itakuwa njiani na kubwa.Na kama itakuwa imejengwa vizuri.Ningekuwa sawa ningekutafuta.Ila next time nitakutafuta,maana nimeishajua kwamba hii ni miongoni mwa dili zako
 
Nimependa sana Akiri umevyopost.
Kwanza maelezo umejitahidi kuweka sawa.
Umechonifurahisha sana umeweka wazi kabisaa kwamba wewe ni Dalali.
Maana wapo wenzenu wanawaharibia kazi,unakuta mtu anasema Frame yake,ukienda unashangaa unakuta msururu wa watu teleee.Kumbe mwenyewe ni dalali.
Kwa maeneo yale bei sio mbaya sana kama itakuwa njiani na kubwa.Na kama itakuwa imejengwa vizuri.Ningekuwa sawa ningekutafuta.Ila next time nitakutafuta,maana nimeishajua kwamba hii ni miongoni mwa dili zako
karibu sana mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom