members mpo? kuna freezer inauzwa! Hii freezer ni yangu ila nimeamua kuiuza kutokana na uhitaji wa hela za jambo la muhimu na la haraka zaidi! niliinunua kwa ajili ya matumiz ya nyumbani ila nilikuwa sijaanza kuitumia! ni mpya kwa maana haijatumika hapa Tanzanis ila ni used kwa maana ya kwamba imetoka Uingereza ikiwa used!!ni nzuri sana na ina sehemu /shelves nyingi
Bei yake ni Laki sita (600,000) tu!.maongezi yapo ila kidogo sana!
wahi offer hii
MAWASILIANO
nitext au nipigie kupitia namba hii 0689154853
napatikana Temeke Dar es salaam
PICHA
muonekano wa nje
Bei yake ni Laki sita (600,000) tu!.maongezi yapo ila kidogo sana!
wahi offer hii
MAWASILIANO
nitext au nipigie kupitia namba hii 0689154853
napatikana Temeke Dar es salaam
PICHA
muonekano wa nje