Freeman Mbowe anazidi kuipaisha CHADEMA


Vimba pasuka mtoa kasema kinachopaswa kusemwa
 

Mkuu ungekuwa mitaa yetu ungepata coke wiki nzima. Ni ukweli mtupu MUUNGANO WETU UNALINDWA NA BUNDUKI ZAIDI SI IMANI NA WALA MAPENZI YA WANANCHI. Anayebisha aitishe kura ya maoni humu.
 
Mnywa pombe mwanzoni anachachamaa ila siku zikisogea po;be inaanza kumtoa kucha subir
 
Mkuu ingependeza sana kama ungejadili hoja zake kuliko kumjadili yeye,kwa maoni yangu tu.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…