ngolomabel
Member
- Apr 27, 2015
- 36
- 14
Yaani atoke Mwanza moja kwa moja aje kutamba DSM? Kwanza kwa style yake ile ya kisukuma sukuma haiwez kuendana na kipindi kile!! Kipindi kile kinahitaji mzaha na uelewa wa mambo!! Jamaa haelewi mambo mengi yanayoendelea. Angebaki huko huko mwanza aendelee kupiga kelele bila sababu za msingi!!..unadhani anaweza kuhoji na kuuliza maswali ya msingi viongozi kama Pj na hando yule?
Kwani hao wote wanaotangaza wamezaliwa Dar mbn ni mvivu wa kufikiri wewe na ukabila unakujaje hapo acha kuropoka pasipo kufikiria fred yupo vizuri tena ni wa mda mref huyo Gerald