Duuh, wewe wa hovyo kweli...., huo mgahawa lazima utakufa tu. Unadhani sisi ni wapiga ramli? unatuuliza wapi wakati hatujui upo wapi? hatujui ni mgahawa wa standard gani? Mimi nipo Malinyi ulanga, njoo ufungue hapa stendi ya mabasi na pikipiki. By the way hili si jukwaa la mambo hayo..