Four million people in middle income Kenya are to die of hunger

Halafu utasikia wanatamba kuwa wako level nyingine huku hata uhakika wa kula kande wengi wao hawana, Mungu awasaidie waathirika wa janga hilo, acheni kujipa sifa za kijinga enyi wakenya, Tanzania tuna surplus food, semeni muuziwe.
 
Yeye anajua 'facing starvation' kwa kiswahili ndo inamaanisha wanakufa. Hajui kiangazi ndo kimeleta haya yote, kama mvua ingenyesha ungeibuka na zile nyuzi zake za sijui alshabaab wataua wakenya wote. Kuna watz wana roho mbaya sana.
Kuna nchi kame zaidi yenu lakinj hakuna upumbavu kama huo
nilini Turkana wakasherehekea kupata chskula chakutosha ktk maisha yao!!

Kila mwaka kenya njaa njaa njaa
 
Halafu utasikia wanatamba kuwa wako level nyingine huku hata uhakika wa kula kande wengi wao hawana, Mungu awasaidie waathirika wa janga hilo, acheni kujipa sifa za kijinga enyi wakenya, Tanzania tuna surplus food, semeni muuziwe.
Sasa ukame kwa jirani ndo kitu cha kujipiga kifua nacho? Eti semeni muuziwe? Hiyo ndo biashara ya sampuli gani? Sijui huu usingizi wenu utafikia kikomo lini. I give up! :D Taarifa yenyewe imetolewa na Red Cross, hela zikikusanywa, mahindi yatapatikana tu, hata kama yatatoka Mexico.
 
Kuna nchi kame zaidi yenu lakinj hakuna upumbavu kama huo
nilini Turkana wakasherehekea kupata chskula chakutosha ktk maisha yao!!

Kila mwaka kenya njaa njaa njaa
Si uende ukakojoe huko Turkana basi! Angalau mahindi yakue.
 
Yeye anajua 'facing starvation' kwa kiswahili ndo inamaanisha wanakufa. Hajui kiangazi ndo kimeleta haya yote, kama mvua ingenyesha ungeibuka na zile nyuzi zake za sijui alshabaab wataua wakenya wote. Kuna watz wana roho mbaya sana.
The fact is, Kenya can do better than this, Kenyans deserve better life than this. "NZI AKIACHA UJINGA, ANAWEZA KUTENGENEZA ASALI KAMA NYUKI". Wakenya wakiacha kupenda sifa za kijinga, wanaweza kuzalisha chakula cha kutosha na ziada kuuza nje kama Tanzania. Hizi nguvu nyingi zinazotumiwa na wakenya katika miradi ya kijinga isiyokuwa na faida kubwa kwa taifa zaidi ya kujipatia sifa za kijinga, kama zingeelekezwa katika kilimo cha kisasa na umwagiliaji, hayo mambo ya ukame, jangwa na ardhi ndogo wala tusingeyasikia, hivi Kenya ina jangwa kuliko Israel?, Kenya ina ardhi ndogo kuliko Israel?.

Nzi akiacha ujinga, ataweza kutengeneza asali, badala ya kuzunguka chooni na kwenye mizoga, aanze kutembelea maua, matunda na viwanda vya sukari kwenye mabaki ya miwa iliyokamuliwa.
 
Sasa ukame kwa jirani ndo kitu cha kujipiga kifua nacho? Eti semeni muuziwe? Hiyo ndo biashara ya sampuli gani? Sijui huu usingizi wenu utafikia kikomo lini. I give up! :D Taarifa yenyewe imetolewa na Red Cross, hela zikikusanywa, mahindi yatapatikana tu, hata kama yatatoka Mexico.
Kama bado watu wenu wanataka kufa njaa basi hata uchumi bado ni mbovu sana
 
hali ya chakula ni mbaya SANA nchini Kenya. mpaka watu wanawaua watoto wao, wengine wanakunywa maziwa ya mbwa yaani ni shida tu. halafu hali kama hiyo ya baa la njaa siyo kwamba limetokea mara moja au mbili, linajirudia karibu kila mwaka. sasa sijajua serikali ya KENYA ina mipango gani kutatua changamoto hii. usalama wa chakula ni muhimu sana kama ilivyo kwa mambo mengine ya afya, elimu, maji safi n.k.
 
Mtanzania mwenzako anaulizia fursa za kibiashara, alafu we unamjibu kwa pumba. Anayemzuia asafirishe 'mahindi yake' hadi kwenye soko za Kenya ni wakenya? Jione!
si mliyakataa mahindi ya Tanzania kwamba hayafai kwa matumizi ya binadamu au umeshasahau?
 
The fact is, Kenya can do better than this, Kenyans deserve better life than this. "NZI AKIACHA UJINGA, ANAWEZA KUTENGENEZA ASALI KAMA NYUKI". Wakenya wakiacha kupenda sifa za kijinga, wanaweza kuzalisha chakula cha kutosha na ziada kuuza nje kama Tanzania. Hizi nguvu nyingi zinazotumiwa na wakenya katika miradi ya kijinga isiyokuwa na faida kubwa kwa taifa zaidi ya kujipatia sifa za kijinga, kama zingeelekezwa katika kilimo cha kisasa na umwagiliaji
Acha blah blah, ukame, ugaidi, ufisadi, vurugu za kila mara, uchaguzi ukifika, ndo vinaturudisha nyuma kama nchi ya Kenya. Ila uchumi wetu bado upo imara zaidi ya nchi zote za E.Afica. Vijisababu vya Tanzania ni vipi?
 
si mliyakataa mahindi ya Tanzania kwamba hayafai kwa matumizi ya binadamu au umeshasahau?

Nyinyi ndo mlisema hamtauza mahindi, eti mnatengeneza viwanda kwanza, ili muuze unga wa mahindi. Viwanda bado, sasa mahindi yakiharibika ndo mnataka Kenya iwe dampo? Wakati jirani zetu Uganda na pia Zambia, S.A na Mexico wana mahindi yao pia, ambayo yapo freshi na wanayauza kwa bei nafuu? Uswahili utawaua!
 
Acha blah blah, ukame, ugaidi, ufisadi, vurugu za kila mara, uchaguzi ukifika, ndo vinaturudisha nyuma kama nchi ya Kenya. Ila uchumi wetu bado upo imara zaidi ya nchi zote za E.Afica. Vijisababu vya Tanzania ni vipi?
Uchumi gani upo imara kama hamna chakula, hamna ajira, mna slums nyingi kuliko nchi yoyote Afrika, umasikini unaongezeka, madeni yanaongezeka, ukuaji wa uchumi unaporomoka, unajua maana ya uchumi imara?. Ethiopia,Tanzania, Rwanda, Uganda, Kenya, huu ndiyo mpangilio wa nchi kufuatana na uimara wa uchumi. Kama hujui maana ya uchumi imara uliza utaambiawa, strong and stable economy vs Bigger economy.
 
Ndo ulifundishwa kuwa mkojo hustawisha mimea? Kaazi kwelikweli
Hiyo ndo ilikuwa point yangu kuu. Lakini naona imekupita kwa mbali sana.
Uchumi gani upo imara kama hamna chakula, hamna ajira, mna slums nyingi kuliko nchi yoyote Afrika, umasikini unaongezeka, madeni yanaongezeka, ukuaji wa uchumi unaporomoka, unajua maana ya uchumi imara?. Ethiopia,Tanzania, Rwanda, Uganda, Kenya, huu ndiyo mpangil
Hahaha :D:D:D:D:D we ishia!
 
Nyinyi ndo mlisema hamtauza mahindi, eti mnatengeneza viwanda kwanza, ili muuze unga wa mahindi. Viwanda bado, sasa mahindi yakiharibika ndo mnataka Kenya iwe dampo? Wakati jirani zetu Uganda na pia Zambia, S.A na Mexico wana mahindi yao pia, ambayo yapo freshi na wanayauza kwa bei nafuu? Uswahili utawaua!
Tuna soko kubwa sana la vyakula vyetu katika nchi za SADC, kumbuka kwamba Tanzania tunalisha nchi tisa kusini mwa Afrika, Kenya ni soko dogo sana. Mikoa inayozalisha vyakula kwa wingi Tanzania ipo kusini, kwahiyo ni rahisi kufanya biashara na nchi za kusini kuliko kaskazini, hatulitegemei sana soko la kazkazini.
 
Hiyo ndo ilikuwa point yangu kuu. Lakini naona imekupita kwa mbali sana. Hahaha :D:D:D:D:D we ishia!
Mtu mjinga pekee ambaye atafurahia pesa iliyopo ambayo haizunguki wala kuzalisha. Mwenye mtaji mdogo lakini anafanya biashara nzuri na kutengeneza faida kubwa vs mwenye mtaji mkubwa lakini hatengenezi faida na biashara inazidi kuporomoka siku hadi siku
 
Tuna soko kubwa sana la vyakula vyetu katika nchi za SADC, kumbuka kwamba Tanzania tunalisha nchi tisa kusini mwa Afrika, Kenya ni soko dogo sana. Mikoa inayozalisha vyakula kwa wingi Tanzania ipo kusini, kwahiyo ni rahisi kufanya biashara na nchi za kusini kuliko kaskazini, hatulitegemei sana soko la kazkazini.
Eti mnalisha SADC? Maskini wa kutupwa kama Tz, analisha nchi tajiri zaidi yake. Mbona hizi hesabu ni kama zile za 1+1=11? :)
 
Mtu mjinga pekee ambaye atafurahia pesa iliyopo ambayo haizunguki wala kuzalisha. Mwenye mtaji mdogo lakini anafanya biashara nzuri na kutengeneza faida kubwa vs mwenye mtaji mkubwa lakini hatengenezi faida na biashara inazidi kuporomoka siku hadi siku
Ndugu yangu kunywaga tumaziwa. Hueleweki hata kidogo!
 
Mtanzania mwenzako anaulizia fursa za kibiashara, alafu we unamjibu kwa pumba. Anayemzuia asafirishe 'mahindi yake' hadi kwenye soko za Kenya ni wakenya? Jione!
Vipi inawezekana kuleta unga Kenya instead of mahindi?
 
Back
Top Bottom