Ana maana ya kukaribisha msimu mpya wa formula 1, kwa kuwakumbuka wapenzi wote wa mchezo huo, aidha yeye yupo salama pamoja na kutojua kuwa msimu ndio umeshapiga hodi!
Zaidi hao wakoloni ndio vinara wa mchezo huo, Hamilton -Mwingereza, Rosberg na Vettel - Wajerumani.