Kutakua kutamu sana leo, McLaren wameshazuiwa na FIA kuhusu rear wing yao ambayo waliifanyia modification ikawa inawafanya wawe quick kwenye straight kwa kuongeza downward force, ilikua as if wameweka DRS ON muda wote wapuuzi wale ila sasa wameshapigwa biti sasa sijui kuna penalty.. ni advantage kwa RB