JABASmartSolutions
Member
- Jan 24, 2013
- 71
- 33
Matokeo ya kidato cha sita 2016 yanatoka lini?
Na grade ni zile zile au zmebadilika tena?
Msaada tafadhali
Na grade ni zile zile au zmebadilika tena?
Msaada tafadhali
Acha utantarehe 12 mwezi wa 7
nipo serious kwahiloAcha utan
Grade ni zile za miaka ya 2013 -1985.Matokeo ya kidato cha sita 2016 yanatoka lini?
Na grade ni zile zile au zmebadilika tena?
Msaada tafadhali
Grade ni zile za miaka ya 2013 -1985.
Maruhani ya 2014-2015 hayapo tena.