C CHUAKACHARA JF-Expert Member Joined Jun 3, 2011 Posts 12,361 Reaction score 6,441 Apr 19, 2016 #1 Wenye kujua, form five selection zinatoka lini? Serikali, parents need to update their diaries
MUSTIY Member Joined Feb 18, 2016 Posts 64 Reaction score 15 Apr 19, 2016 #2 Sure na mimi nahitaji sana kujua hilo pamoja na post za chuo
C CHUAKACHARA JF-Expert Member Joined Jun 3, 2011 Posts 12,361 Reaction score 6,441 Apr 19, 2016 Thread starter #3 MUSTIY said: Sure na mimi nahitaji sana kujua hilo pamoja na post za chuo Click to expand... Hawa watu wa NECTA na wizara inabidi watoe wazazi wafanye maamuzi wapi wampeleke mtoto. They are putting parents and students in a state of uncertainity of what next
MUSTIY said: Sure na mimi nahitaji sana kujua hilo pamoja na post za chuo Click to expand... Hawa watu wa NECTA na wizara inabidi watoe wazazi wafanye maamuzi wapi wampeleke mtoto. They are putting parents and students in a state of uncertainity of what next
Akimuz Senior Member Joined Apr 6, 2016 Posts 106 Reaction score 92 Apr 22, 2016 #6 Kwa Uzoefu, huwa wanaripoti Jully, kuhusu ni lini wata toa hizo post cjui.