Kwa taarifa nilizonazo nafahamu kwamba Form Six wanaanza muhula mpya kuanzia tarehe 8/7 na kuendelea, kinachonisumbua akil NI kwamba had sasa. form five SELECTIONS kwa madogo tulomaliza last one year bado hazieleweki NI lini zinatangazwa! kwa aliye na taarifa atufahamishe! Asante sana!