Zeus1
JF-Expert Member
- Aug 24, 2017
- 6,993
- 8,917
Nice setup,niko nayo toka ijumaa.Rising channel and bullish engulfing kwenye support.View attachment 799102
Nice setup,niko nayo toka ijumaa.Rising channel and bullish engulfing kwenye support.View attachment 799102
offcorse na ilikua retest ya sapot nikasema walisahau ama walikua wanatega watu so valid entry kwa upande wanguu ivunje down chanel iliyopo ndanani ya iyo rising CRising channel and bullish engulfing kwenye support.View attachment 799102
Group ndo safi zaidiMkuu mi nashauri utengeneze group la whatsapp au channel itakuwa poa zaidi (ITAPENDEZA ZAIDI) kuliko hapa kwenye jf. Uzoefu unaonyesha kwamba wengi kwenye jf wanapiga chabo tu. Ila kama mtu atakuwa serious then atafuatilia kwenye group au channel na naamini huko watakuja watu ambao wengi watakuwa serious na hii kitu! NI MTAZAMO TU!
Hehe watu mko vizuri,it's going down mkuumi naona mema ktk Euro Aud inamalizia matofali yake ya mwisho kuform head and shoulder ktk 30m 1h na ktk 4h kuna Be engulfing kuashiria zote ni push za down bado ktk daily Ch imefunga inverted harmer clear then general trend ktk major TF ni down trend So what MazaF#c goin outthere?? story ainaendelea ktk lower TF 1,5mn zimefunga very BE candles hii ili pale New major candle zinapofunguka huacha gape Up sas hi gape up itaboost retest then safari ya kupush to down ianzeView attachment 799320
Yap pia ni downtrend ni kusell tumi naona mema ktk Euro Aud inamalizia matofali yake ya mwisho kuform head and shoulder ktk 30m 1h na ktk 4h kuna Be engulfing kuashiria zote ni push za down bado ktk daily Ch imefunga inverted harmer clear then general trend ktk major TF ni down trend So what MazaF#c goin outthere?? story ainaendelea ktk lower TF 1,5mn zimefunga very BE candles hii ili pale New major candle zinapofunguka huacha gape Up sas hi gape up itaboost retest then safari ya kupush to down ianzeView attachment 799320
great but mida ya saa 11.30 A.m kutakua na news GBP high impact news so naamin Gbp itakua imara kidogo mpaka muda huo then idicide where to go so be patient until stranger did their things, aam pia EuroJpy ni ndugu yake GbpJpy same directionIlivunja trendline na ikarudi kuretest now tunaenda chini..View attachment 799535
View attachment 799568 View attachment 799568mi naona mema ktk Euro Aud inamalizia matofali yake ya mwisho kuform head and shoulder ktk 30m 1h na ktk 4h kuna Be engulfing kuashiria zote ni push za down bado ktk daily Ch imefunga inverted harmer clear then general trend ktk major TF ni down trend So what MazaF#c goin outthere?? story ainaendelea ktk lower TF 1,5mn zimefunga very BE candles hii ili pale New major candle zinapofunguka huacha gape Up sas hi gape up itaboost retest then safari ya kupush to down ianzeView attachment 799320
Am already on it since fridayfriday it is going downmi naona mema ktk Euro Aud inamalizia matofali yake ya mwisho kuform head and shoulder ktk 30m 1h na ktk 4h kuna Be engulfing kuashiria zote ni push za down bado ktk daily Ch imefunga inverted harmer clear then general trend ktk major TF ni down trend So what MazaF#c goin outthere?? story ainaendelea ktk lower TF 1,5mn zimefunga very BE candles hii ili pale New major candle zinapofunguka huacha gape Up sas hi gape up itaboost retest then safari ya kupush to down ianzeView attachment 799320
Hahahaa yeah sure itabiri tusubiri hapo kwanza news sizipendi sana.great but mida ya saa 11.30 A.m kutakua na news GBP high impact news so naamin Gbp itakua imara kidogo mpaka muda huo then idicide where to go so be patient until stranger did their things, aam pia EuroJpy ni ndugu yake GbpJpy same direction
Link haifanyi kazikwa traders nimetengeneza group whatsapp karibun tuwe tuna share trades strategies Forex signalsTZ
Hehehehh, wakanda bna*WAKANDA CAPITAL FOREX ACCOUNT MANAGEMENT*
Hii ni huduma mpya inayotolewa na *Wakanda Capital.*
Huduma hii ni mahususi kwa wale watu wenye uelewa na forex au wale wanaotrade ila hawana muda kutokana na majukumu ya kimaisha hivyo kupelekea kukosa muda wa kutrade kwa ufasaha. Hivyo, lengo la huduma hii ni kuweza kuwasaidia kumanage acc zao za Forex huku wao wakipata faida bila kufanya kazi yoyote.
*Je, ni nini kinahitajika ili kupata huduma?*
-Live Forex Account
-Templerfx kama broker
-Minimum Deposit ya $200
*Je, pesa ya kutrade ninaweka wapi?*
Pesa itawekwa kwenye acc yako. Kama huna acc ya Templer, unaweza kutumia link hii kufungua acc Templer FX Trader na ukimaliza utafanya usajili na kufungua live acc, baada ya hapo utadeposit kiasi husika. Kama ukikwama tupo hapa kukusaidia kwa kila step.
*Je, ninaweza kutoa faida inayopatikana?*
Acc ambayo itakuwa chini ya uangalizi wa *WAKANDA CAPITAL* inaruhusiwa kutoa pesa mara moja kwa mwezi, na faida ya mwezi husika itagawanywa 70% kwa 30%, ikiwa 70% itaenda kwa mwenye acc.
*Je, kama nina maswali zaidi nitawapata vipi*
Kwa maswali zaidi mnaweza kuwasiliana na (CEO) kupitia 0744839127 au (CFO) kupitia 0756684172.
*Wakanda Capital*
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app