Josee Munyama
Member
- Jun 15, 2015
- 42
- 35
Gari Kali na ya kijanja inauzwa aina ya Subaru Simu no
0717673698,WhatsApp 0768302047
Ahsantemil 14 bei ya yard! jua soko, jua Wateja, Fanya biashara!

Bei ya yard ikoje mkuu? Halafu ukisema ni bei ya yard maana yake gari inakuwa haijasajiriwa wala kulipiwa bima, maana yake ukiitoa yard utatakiwa kutafuta pesa tena kwa ajili ya usajiri na bima.mil 14 bei ya yard! jua soko, jua Wateja, Fanya biashara!
Msamehe huyo hajui vizuri taratibu za garBei ya yard ikoje mkuu? Halafu ukisema ni bei ya yard maana yake gari inakuwa haijasajiriwa wala kulipiwa bima, maana yake ukiitoa yard utatakiwa kutafuta pesa tena kwa ajili ya usajiri na bima.
Cc 2000 ya 2005Weka details zaidi Mkuu such as Mileage,Year of Manufacture etc
Bei ya yard ikoje mkuu? Halafu ukisema ni bei ya yard maana yake gari inakuwa haijasajiriwa wala kulipiwa bima, maana yake ukiitoa yard utatakiwa kutafuta pesa tena kwa ajili ya usajiri na bima.
Kazi sana umebaki na formula za hesabu darasa la sita unazani utazitumia na kwenye maisha ,let's goGari utakalo nunua Yard na utakalo nunua kwa mtu ni tofauti. Ni bora mtu akanunue Yard kwa hiyo bei akiwa na uhakika wa gari kuwa ni zima kuliko kununua kwa mtu akiwa na wasiwasi wa uzima wa gari.
Kuna sababu nyingi za kuuza gari jipya,tena plate number D inatia wasiwasi.
Mbona ndo bei tena yiko chini. Usikaishe watu tama.mil 14 bei ya yard! jua soko, jua Wateja, Fanya biashara!
Sio kila post ni ya kujibu, wewe deal na watu wanaoonyesha interest ya gari tuKazi sana umebaki na formula za hesabu darasa la sita unazani utazitumia na kwenye maisha ,let's go
Sio kila post ni ya kujibu, wewe deal na watu wanaoonyesha interest ya gari tu

Daaaah Gari ishafika Mwanza wewe usiwe fala akaunti nyingi nyingine ya Dada yako au Nguruwe wewenimegundua una account nyingi! mil 14 huwezi kupata mteja, yaani utake au usitake!
labda kwa mil 8, ila hyo mil 14 hakuna wa kutoa hela yote kwa gari kama hyo!Daaaah Gari ishafika Mwanza wewe usiwe fala akaunti nyingi nyingine ya Dada yako au Nguruwe wewe
Imeshauzwa iko Mwanza,jipange kuwaita madem wazuri wote shemejilabda kwa mil 8, ila hyo mil 14 hakuna wa kutoa hela yote kwa gari kama hyo!
sijakataa kuwa huwezi kuiuza, ila nilikataa kuiuza kwa hyo mil 14, Nina uhakika umeiuza mil 8Imeshauzwa iko Mwanza,jipange kuwaita madem wazuri wote shemeji
Mkuu usiwe na hasira hii ndo dunia we achana nao tu fanya kazi***** zako