Food science- Natafuta kazi

Food science- Natafuta kazi

solanum

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2015
Posts
203
Reaction score
99
Habari zenu wakuu,

Mimi ni kijana wa kiume nina umri wa miaka 28, Elimu yangu ni bachelor degree of science in food science and technoloy, ni muaminifu na mchapakazi. Nimekuja hapa jukwaani kutafuta kazi yoyote ile iliyo halali maana hapa nilipo sina kazi na nimeshajaribu kutafuta kazi sehemu kadhaa ila sijafanikiwa wananiambia nafasi hamna. Nipo Dsm, mawasiliano 0758 106 501. Kama kutakuwa na mtu yeyote mwenye kazi au aniunganishe na kazi anitafute kupitia namba hizo.

Ahsanteni sana......
MUNGU awabariki wote.
 
Kozi ni ngeni kwenye soko hii sijawahi sikia.. Labda ungesema unaweza fanya kazi gani haswa
 
Kozi ni ngeni kwenye soko hii sijawahi sikia.. Labda ungesema unaweza fanya kazi gani haswa
Kozi ni ngeni kwenye soko hii sijawahi sikia.. Labda ungesema unaweza fanya kazi gani haswa
Nafanya kazi zinazohusiana na vyakula pamoja na vinywaji Mf: food analysis, food preservation and storage, food packaging and handling, food inspection, food quality control na zinginezo nyingi.
 
Nafanya kazi zinazohusiana na vyakula pamoja na vinywaji Mf: food analysis, food preservation and storage, food packaging and handling, food inspection, food quality control na zinginezo nyingi.
steward manager
 
Nafanya kazi zinazohusiana na vyakula pamoja na vinywaji Mf: food analysis, food preservation and storage, food packaging and handling, food inspection, food quality control na zinginezo nyingi.

Huna brender utengeneze juice ? Twanga kisamvu pack uza, tengeneza karanga, peanut butter hata mafuta ya nazi . Yaani unasubiri kuajiriwa na unakila kitu kichwani mwako . Acha utani wewe kijana . Yaani una utani sana na maisha yako hujijui tu
 
Huna brender utengeneze juice ? Twanga kisamvu pack uza, tengeneza karanga, peanut butter hata mafuta ya nazi . Yaani unasubiri kuajiriwa na unakila kitu kichwani mwako . Acha utani wewe kijana . Yaani una utani sana na maisha yako hujijui tu
Unavyoongea hivyo kama ww vile umejiajili kumbe hamna lolote unategemea mshahara wa mwisho wa mwezi
 
Unavyoongea hivyo kama ww vile umejiajili kumbe hamna lolote unategemea mshahara wa mwisho wa mwezi

Kukupa kwangu ufunuo wa akili yako unachungulia mimi nafanya nini? Mimi nimejiajiri na kuajiri wafanyakazi wanaolisha familia zao nao nawaasa kila siku wasibweteke kwenye ajira niliyowapa nawahimiza wakajiajiri kwa kuwa ninachofanya na wao wanaweza kufanya.

Usiwe na shingo ngumu wakati fursa zipo. Nimeacha kazi sector ya umma February 28, 2018 baada ya kufanya kazi ya kuajiriwa na serikali kwa miaka 8 tu.

Endelea kusubiri ajira. Sikupenda kutoa ushauri chanya ili kukudhihaki nilisukumwa kufungua pale uliposhindwa kuona . Ni hiyari yako Mkuu.

Pole kwa usumbufu niliokusababishia.
 
Kukupa kwangu ufunuo wa akili yako unachungulia mimi nafanya nini? Mimi nimejiajiri na kuajiri wafanyakazi wanaolisha familia zao nao nawaasa kila siku wasibweteke kwenye ajira niliyowapa nawahimiza wakajiajiri kwa kuwa ninachofanya na wao wanaweza kufanya.

Usiwe na shingo ngumu wakati fursa zipo. Nimeacha kazi sector ya umma February 28, 2018 baada ya kufanya kazi ya kuajiriwa na serikali kwa miaka 8 tu.

Endelea kusubiri ajira. Sikupenda kutoa ushauri chanya ili kukudhihaki nilisukumwa kufungua pale uliposhindwa kuona . Ni hiyari yako Mkuu.

Pole kwa usumbufu niliokusababishia.
Mkuu huoni kwamba hiyo kazi uliyofanya kwa miaka nane ndio iliyokuwezesha kupata mtaji uliokupa nafasi ya kujiajiri? Ama sivyo?
 
Mkuu huoni kwamba hiyo kazi uliyofanya kwa miaka nane ndio iliyokuwezesha kupata mtaji uliokupa nafasi ya kujiajiri? Ama sivyo?

Ni kweli kabisa kwa sababu nilipotoka chuo tu nilipata kazi ndiyo maana lakini kwa awamu hii wahitimu wanaosubiri ajira ni wengi na nafasi zimekuwa finyu sana wanatakiwa kujiongeza.
 
Kukupa kwangu ufunuo wa akili yako unachungulia mimi nafanya nini? Mimi nimejiajiri na kuajiri wafanyakazi wanaolisha familia zao nao nawaasa kila siku wasibweteke kwenye ajira niliyowapa nawahimiza wakajiajiri kwa kuwa ninachofanya na wao wanaweza kufanya.

Usiwe na shingo ngumu wakati fursa zipo. Nimeacha kazi sector ya umma February 28, 2018 baada ya kufanya kazi ya kuajiriwa na serikali kwa miaka 8 tu.

Endelea kusubiri ajira. Sikupenda kutoa ushauri chanya ili kukudhihaki nilisukumwa kufungua pale uliposhindwa kuona . Ni hiyari yako Mkuu.

Pole kwa usumbufu niliokusababishia.
Nyumba Ndogo bhana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom