Foleni

Foleni

Matukutuku

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2014
Posts
269
Reaction score
126
Khaaaa!! Jamani foleni gani hii ya Ubungo inayoanzia mataa ya Mliman City ofisi za Voda?? Tunaomba serikali ichukue hatua za ziada! malori mengi na Strabag nao wanaziba ziba barabara tu. Tumechokaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa .

Tunaumia aiseee jamani
 
Nipo kwenye foreni hii tangia daa moja na nusu hata njia panda ya chuo sitegemei kifika leo. Yaan hii ni hatari sana
 
Sijui uko ubungo kuna traffic au hayupo na kama yupo sijui anafanyanini.
 
poleni, kuna siku nilifika home saa 5usiku
 
poleni leo tumepewa kipaumbele tunaotoka city center
 
Poleni sana, weekend inakaribia ndio maana foleni kubwa
 
Nipo kwenye foreni hii tangia daa moja na nusu hata njia panda ya chuo sitegemei kifika leo. Yaan hii ni hatari sana
Mkuu kama nakuona ulivo jiinamia, pole. Ila ukivuka mataa inakimbia m natoka kimara naenda kndn kamba ipo ila c sana. Pole,

Nashaur umwambie kabisa bi mkubwa kuwa utachelewa...
 
Kibano cha foleni nilichopata leo pale ubungo nimeapa ile njia sitopita tena hata kama kuna mgao wa pesa.....
 
Kuna mdada hapa darajan usk huu kwenye gar la uda, mdada kavaa ngua fupi, jamaa wanamgombania hapa wahi aweza kuwa shol wako..
 
!
!
fanya maamuzi ya kiume mkuu....toa gari njia kuu.....tafuta bar ya karibu agiza kili mbili na spoti moja. Ukimaliza njia itakuwa nyeupee foleni imeisha tayari
 
Back
Top Bottom