Naomba kujua tofauti ya Pesa, fedha na Hela.
Exactly.Pesa inaweza kukufanya uweze kumudu Kununua tu ama Dagaa na Mnafu kwa sana na Kukopa kwa sana hadi Unaboa huku Usafiri wako mkubwa ukiwa ni wa DalaDala pekee na utaishia Kuishi Nyumba za Kupanga hadi Kifo chako.
Hela inaweza kukufanya uweze kumudu Kununua Utumbo, Nyama kwa kubahatisha, Kukodi Bajaji na Maharage kwa wingi huku ukiwa Unahonga na Moyoni unaumia na ukinunua Magari Mitumba au Mabovu Mabovu.
Fedha inaweza kukufanya uweze kumudu kula Kuku, Nyama, Kumiliki Kampuni yako Binafsi, Kupanda Ndege kwa sana, Kumiliki Magari mapya kabisa na Honga yako ni ya Nyumba au Uwanja.
Exactly.
Ndiyo maana utasikia ana vipesa au vihela. Hakuna vifedha.
kwaiy kumbe idadi yetu kubwa tuna pesa ya madafu na vijihela fedha kuipata ni mzikiExactly.
Ndiyo maana utasikia ana vipesa au vihela. Hakuna vifedha.
Asili ya neno "pesa" katika lugha yaKiswahili ni sarufi ndogo ya Kihindi iliyokuwa kitengo cha rupia. Rupia 1 ilikuwa na "paisa" 64 ikawa sarufi ya kawaida katika Afrika ya Mashariki kabla ya kipindi cha ukoloni. Neno la kiasili "paisa" likanyoshwa kuwa "pesa".Pesa ni neno lililotoholewa kutoka Spanish (Peso), Hella ni German word na Fedha ni Arabic