Mimi ni mteja wa Benki tajwa kwa takribani miaka minne.
Nimestuka kwa miezi 3 iliyopita mmefunga matawi kadhaa jijini.
Tuwaeleweje? Mbona mnaleta taharuki? Tutoe senti zetu humo?
Niliwekeza kwenye akaunt maalum angalau Disemba 2019 nijipongeze kwa Alphard za Offa toka befoward!
Lakin kasi ya kufunga baadhi ya matawi imenistua
Nimestuka kwa miezi 3 iliyopita mmefunga matawi kadhaa jijini.
Tuwaeleweje? Mbona mnaleta taharuki? Tutoe senti zetu humo?
Niliwekeza kwenye akaunt maalum angalau Disemba 2019 nijipongeze kwa Alphard za Offa toka befoward!
Lakin kasi ya kufunga baadhi ya matawi imenistua