Aahahahahahaa...not to knock her or anything lakini huyu dada kuna wakati alihojiwa na Michuzi kwa Kiswahili akawa anajibu kwa Kiingereza mimi nikadhani pengine yupo more conversant na proficient katika lugha hiyo kumbe wapi! Hapo kwenye hiyo clip ya kwanza naona ana stumble stumble tu....hehehehee wabongo bana....mbwembwe nyiiingi. Overall not bad though...