Flash kwa bei ya jumla

Flash kwa bei ya jumla

Huyo jamaa sio mnunuaji !! Alishawahi kuweka hadharani bei anazotaka kuuziwa na nilimwambia aje dukani !!! Ila hadi Leo kimya
 
Huyo jamaa sio mnunuaji !! Alishawahi kuweka hadharani bei anazotaka kuuziwa na nilimwambia aje dukani !!! Ila hadi Leo kimya

Usiwe f*ala wewe, kwani lazima kununua kwako? we unamajibu ya shombo sana kitu ambacho wateja wengi hawapendi, ulimuandikia bei then chini yake ukampiga mkwara. Biashara zako za kihuni kafanyie Libya, sio Tanzania. Isitoshe wewe si mwaminifu, ni dalali kanjanja wa kwenye yard za watu. Taarifa zako zote tunazo, kwakuwa tunakaa kimya usijione ka ndio king wa jukwaa, ***** wewe.
 
Biashara gani ??? Sasa wewe endelea kunitukana !! Alafu usiingilie mada ambazo hazikuhusu !!!

Hivi kweli unanifahamu ??? Sidhani
 
Njia ya muongo ni fupi sana !! Nilifanya biashara gani na wapi ????

Alafu narudia tena , endelea kutukana watu !!! Hapa ni mjini !!
 
Usinitumie private SMS !!!
 

Attachments

  • 1437801880684.jpg
    1437801880684.jpg
    51.5 KB · Views: 181
Njia ya muongo ni fupi sana !! Nilifanya biashara gani na wapi ????

Alafu narudia tena , endelea kutukana watu !!! Hapa ni mjini !!

Kama unafahamu hapa ni mjini basi utakuwa unafahamu kuwa mjini hakuna mjanja, mjini ni timing tu. Kila mjanja ana mjanja wake.

Nakushauri uwe mwaminifu katika biashara zako za magari, watu wanatumia pesa nyingi sana kununua magari kwako.
 
Huku unasema unanifahamu , wakati in private SMS unasema hunifahamu hata kidogo !!!

Alafu kabla ya kutukana watu uwe unafikiria !!! Ushauri wa bure
 
Wewe umetumwa ni mtu !!! Usinitumie private SMS !!!

Unasema nimefanya biashara na rafiki yako na nilimuuzia gari !!!

Swali - nilimuuzia gari gani na wapi ??? Nionyeshe mkataba ambao una signature yangu !!


Punguza uwongo !!! Aliyekutuma mwambie riziki anatoa Allah na sio yeye !!!
 
Endelea !!! Naona umetumwa na kampuni nyingine !!! Mimi nikiuza magari huwa kuna mkataba naweka signature !!! Nionyeshe huo mkataba 


Alafu mimi sijawahi kukuuzia gari yoyote !!!! Acha uwongo !!!!

Kama kweli unanijua , ofisi yangu iko wapi  Na nikiwa ofisini navaa vazi gani ?

Hiyo kampuni iliyokutuma , waambie riziki anatoa Allah na sio wao !!!!!
 
Jamaa mnafiki tu , hana lolote !!! Jibu maswali niliyokuuliza !!! Mbona umeshindwa ???

Unafiki utakupeleka motoni !!!! endelea tu
 
Huyo jamaa sio mnunuaji !! Alishawahi kuweka hadharani bei anazotaka kuuziwa na nilimwambia aje dukani !!! Ila hadi Leo kimya

Kusema Ukweli Munawar hukufanya vizuri ktk post yako. Kwani ilikuwa ni lazima huyo Jamaa anunue kwako?

Ukiongea na Mtu biashara fulani kama hajatoa Pesa na wewe kumpa bidhaa anabaki kuwa "prospect" tu - siku yoyote anaweza Nunua bidhaa hiyo toka kwako!
 
Last edited by a moderator:
Jamani , naona hamuelewi !!! Mwenyewe haongei kwa sababu anajua alifanya nini !!

Aliweka tangazo anataka flash na memory , na akaweka bei yeye mwenyewe ambazo anataka auziwe !!! Ni kama siku 3 Leo !!! Kila mtu akaweka namba yake !!! Watu wengi tu waliweka namba !!!

Mimi huwa simlazimishi mtu anunue kwangu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom