Dr Luu
JF-Expert Member
- Nov 24, 2016
- 968
- 856
Habari,
Hongereni kwa kutimiza majukumu yenu ya kila siku kuhakikisha tunasogeza mbele gurudumu la maendeleo binafsi, familia na taifa letu.
Nimeamua kuandika uzi huu ili kuhakikisha pia tunajenga afya na kuendelea kutimiza majukumu yenu ya unyumba hasa kwa wanaume. Nimeleta hii huduma ya kwanza kwa wanao sumbuliwa na tatizo hili tuliitalo nguvu za kiume ( pre ejaculation, low testosterone, stamina n.k) kwa kutumia tiba asili ya majumbani.
Juisi ya Nguvu kwa Wanaume 🚹🔥
Kama umekuwa ukihisi kupungua kwa hisia, au unashindwa kurejea haraka baada ya bao la kwanza, basi hii ni tiba ya asili yenye matokeo ya moja kwa moja.
Viambata vinavyohitajika:
Kipande cha tangawizi 🫚
Punje 3 za kitunguu saumu 🧄
Kitunguu maji kimoja 🧅
Tango moja 🥒
(Asali vijiko 2–3 kwa ladha na nguvu ya ziada 🍯)
Namna ya kutengeneza:
1. Safisha na katakata viambata vyote.
2. Weka kwenye blender, ongeza glasi moja ya maji.
3. Saga hadi upate juisi laini.
4. Chuja na kunywa nusu saa hadi lisaa moja kabla ya tendo.
Faida zake:
💚Huchochea mzunguko wa damu.
💚Huongeza stamina na kuamsha hisia.
💚Huchangia mwili kurudi kwenye nguvu haraka baada ya tendo.
🍯Asali huongeza nguvu ya haraka (instant energy).
⚠️ Tahadhari:
Usitumie kila siku bila kupumzika. (Inaweza kuaribu ukuta wa tumbo ikitumika kwa mfululizo pasina kupumzika, angalau itumike siku 3 - 5 kisha upumzike kwa siku kadhaa.)
Wenye vidonda vya tumbo/ulcers wazingatie kiasi au waepuke.
Ukiona inakuletea heartburn, punguza kitunguu.
✅ Ukiwa huna viambata vyote, basi tumia tangawizi + kitunguu maji + asali – bado inafanya kazi vizuri.
🏆 Haina Kufeli. Hii ni ukweli.
Kuna tiba ikiwa mbinu hii imefeli au tatizo ni kubwa.
Pata hii Mendose kwa bei nafuu urudi kwenye ubora wako wa asili.
PM for order.🙏♥️💪
Hongereni kwa kutimiza majukumu yenu ya kila siku kuhakikisha tunasogeza mbele gurudumu la maendeleo binafsi, familia na taifa letu.
Nimeamua kuandika uzi huu ili kuhakikisha pia tunajenga afya na kuendelea kutimiza majukumu yenu ya unyumba hasa kwa wanaume. Nimeleta hii huduma ya kwanza kwa wanao sumbuliwa na tatizo hili tuliitalo nguvu za kiume ( pre ejaculation, low testosterone, stamina n.k) kwa kutumia tiba asili ya majumbani.
Juisi ya Nguvu kwa Wanaume 🚹🔥
Kama umekuwa ukihisi kupungua kwa hisia, au unashindwa kurejea haraka baada ya bao la kwanza, basi hii ni tiba ya asili yenye matokeo ya moja kwa moja.
Viambata vinavyohitajika:
Kipande cha tangawizi 🫚
Punje 3 za kitunguu saumu 🧄
Kitunguu maji kimoja 🧅
Tango moja 🥒
(Asali vijiko 2–3 kwa ladha na nguvu ya ziada 🍯)
Namna ya kutengeneza:
1. Safisha na katakata viambata vyote.
2. Weka kwenye blender, ongeza glasi moja ya maji.
3. Saga hadi upate juisi laini.
4. Chuja na kunywa nusu saa hadi lisaa moja kabla ya tendo.
Faida zake:
💚Huchochea mzunguko wa damu.
💚Huongeza stamina na kuamsha hisia.
💚Huchangia mwili kurudi kwenye nguvu haraka baada ya tendo.
🍯Asali huongeza nguvu ya haraka (instant energy).
⚠️ Tahadhari:
Usitumie kila siku bila kupumzika. (Inaweza kuaribu ukuta wa tumbo ikitumika kwa mfululizo pasina kupumzika, angalau itumike siku 3 - 5 kisha upumzike kwa siku kadhaa.)
Wenye vidonda vya tumbo/ulcers wazingatie kiasi au waepuke.
Ukiona inakuletea heartburn, punguza kitunguu.
✅ Ukiwa huna viambata vyote, basi tumia tangawizi + kitunguu maji + asali – bado inafanya kazi vizuri.
🏆 Haina Kufeli. Hii ni ukweli.
Kuna tiba ikiwa mbinu hii imefeli au tatizo ni kubwa.
Pata hii Mendose kwa bei nafuu urudi kwenye ubora wako wa asili.
PM for order.🙏♥️💪