Financial Consulting Services-Freelancer

giraffe04

New Member
Joined
Mar 30, 2018
Posts
3
Reaction score
2
Habari Wanajamii,
Natumaini mnaendelea vizuri na mihangaiko ya kutafuta ridhiki,
Nakuja mbele yenu kama Freelancer ninayotoa huduma zifuatazo:
1. Preparation of financial reports
2. Preparation of Payrolls
3. Filling of tax returns ie PAYE & SDL returns, VAT returns, Withholding taxes, Provisional and final returns
4. Stamp duties
5.Representing in tax audits
6. Stock taking
7. Other statutory returns ie NSSF & WCF
Ninatoa huduma hizo within the due dates kuepuka penalties na ni guarantee kua hakuna non compliance kwa any of my client.

I am a CPA holder na nimeajiriwa as a Senior Auditor kune Auditing firm

Karibu PM kwa maswali zaidi na maelezo zaidi

Ahsanteni sana
 
Audited FR unaandaa kwa bei gani mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…