Finally nimepata relief...

Mtu wa afya, ila si umeona kijasho kimemtoka hapo?
iyo inaitwa , kupigana mpini na mwanamke mnayekutana usiku tu.


Ila kwa habari za ndani zaidi

Mtoa mada atatusaidia


Mpaka muda huu wa saa 1:25 Mie nawee tubaki na letu moja tu kwamba " Jamaa hana mpango na mimba za bahati mbaya".
 
Kwani Rough rider bei gani ?
Ifike mahali tuwe tunaelekezana , Vifungu vya kwenye Bibilia na Quran!!.


Yaan shetan bana, unaweza mkwepa kwenye Ulevi, Uongo, wizi n.k...

Alafu akaamua kukupa Nyege za ajabu kiasi kwamba Kila Lodge ukaijua wee. Kila kondom, na bei elekezi ukajuaa kama ambavyo Serikali imetoa bei elekezi ya cement.
 
Unahofu na mimba vipi ukimwi???
 
Mashabiki wa Man utd bana waoga kweli
 
Vipi na grid ya taifa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…