Tarehe 1/june, kutakua na mechi babkubwa, kati ya Argentina ambao ni mabingwa wa bara lao (Amerika ya kusini) wanakutana na Italy ambao pia ni mabingwa wa bara lao (Ulaya)
View attachment 2245711View attachment 2245712
Game litachezwa tarehe 1/june, saa 3:45, usiku.