Kumekuwa na filamu nyingi sana hasa za magharib zinapotosha iman za kidini.
Mfano filamu za yesu.Kwa wakristo unaposali huvuta hisia ya image ya yesu alivyo kwa hiyo unakuta hata sura ya jamaa flan actor wa Hollywood ndiye aliye akilini.Hata watoto wanaamini yule ni yesu.
Au Filamu kama Clush of titans wamechukua maudhui ya kibiblia wakatengeneza hadithi yao eti Mungu wao kaenda kulala na mke wa mfalme ndipo akazaliwa mkombozi.
Angels and demons,The da vinci code na nyingine nyingi au ile ya kihindi yesu anaoa.
Filamu za kiislamu mhusika mkuu kama haoneshwi sura.
Mipaka inatakiwa iwepo jamani.Japo pia hata mziki pia mfano Kanye West.Au Kalapina anaimba eti mateso zaidi ya yesu msalabani.
Mungu wasamehe sana hasa hiki kizazi cha utandawazi.
Mfano filamu za yesu.Kwa wakristo unaposali huvuta hisia ya image ya yesu alivyo kwa hiyo unakuta hata sura ya jamaa flan actor wa Hollywood ndiye aliye akilini.Hata watoto wanaamini yule ni yesu.
Au Filamu kama Clush of titans wamechukua maudhui ya kibiblia wakatengeneza hadithi yao eti Mungu wao kaenda kulala na mke wa mfalme ndipo akazaliwa mkombozi.
Angels and demons,The da vinci code na nyingine nyingi au ile ya kihindi yesu anaoa.
Filamu za kiislamu mhusika mkuu kama haoneshwi sura.
Mipaka inatakiwa iwepo jamani.Japo pia hata mziki pia mfano Kanye West.Au Kalapina anaimba eti mateso zaidi ya yesu msalabani.
Mungu wasamehe sana hasa hiki kizazi cha utandawazi.