FIESTA ARUSHA: Full perfomance ya Ally Kiba

ZionTZ

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2009
Posts
1,282
Reaction score
541
Kiba apagawisha arusha....sauti yake ya jukwaani haina tofauti na ya kwenye CD, mziki mzuri tuliburudika sana....hapa na mausingizi baaadae ntatupia zingine...pata starter kwanza.

 
Tumeisikia Ila wasanii wa Bongo kuperform live bado Sana. Wanabebwa na Majina.
 
Licha ya mapenzi yangu kwa music siwezi udhuria show hizo...

Jana waliimba wasanii au watu waliimbishwa!??
 
Licha ya mapenzi yangu kwa music siwezi udhuria show hizo...

Jana waliimba wasanii au watu waliimbishwa!??
Hata hua hawaimbishwi ni mapenzi ya mashabiki kupenda kuimba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…