Ncha Kali
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 14,506
- 27,003
- Thread starter
- #21
Hii ngoma ingetoka enzi hizi sijui kama inhefanya vizuri.
Feruz alijipanga sana, bila kumsahau the heavyweight mc, professor Jay wa mitulinga chini ya mikono ya P funk majani.
Ukilinganisha na nyimbo za sasa kuna tofauti kubwa sana, siku hizi bongo fleva matusi huko kwenye hip-hop ni mwendo wa kupachika maneno tu muhimu vina hakuna logical sequence ya kinachozungumzwa.
Kipindi hicho zilipigwa ngoma nyingi zikiwa mbele ya muda, japo kila zama na kitabu chake ila ukweli utabaki kuwa kuna vizazi vingine vitabu vyao ni hovyo sana.
Ni heshima kwangu kuwa sehemu ya kitabu cha enzi za kina Ferouz.