Feni inauzwa

Feni inauzwa

Moire

Member
Joined
Dec 27, 2017
Posts
19
Reaction score
7
Nauza feni yenye material ya chuma. Inafaa sana kwa wenye sehemu za kuonyeonyeshea Mpira, makabisani, bar na sehemu zenye mikusanyiko ya watu. Bei Tsh 90,000.
IMG_20180114_144704.jpg
 
Niliinunua kwa matumizi ya home, but nilipofika home nikagundua mimebugi, maana INA upepo ambao sio friendly kwa matumizi ya watu. So imekuwa haitumiki kwa muda sasa. Nahitaji kuiuza sasa

Ila mkuu kwa joto la Dar January hii nadhani hapo ni mahala sahihi kwa kazi yetu ile maalum.

Poa poa mkuu umesomeka.
 
dah, kuna vimbwanga umu! ha ha ha

BTW izo feni nazijua, zinatumika sana viwandani kupoozea mashine
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom