Female Reproductive Organ- Uke

Ta Muganyizi

R I P
Oct 19, 2010
5,361
2,734
Siku moja wanafunzi wa kidato cha nne walikuwa wanafanya mtihani wa Civics...wakakuta swali linalouliza kuwa " Draw and label the female reproductive organ yaani uke.

Dada mmoja alijaribu kuichora lakini ikamshinda..... basi akaamua achukue karatasi ya A4 ili aibandike ukeni kisha aje aigilizie na penseli. Kumbe pembeni Kaka mmoja yuko anamwangalia na alipoona kuwa huyo Dada atafanikiwa ikabidi amshtaki kwa mwalimu hivyo akapiga kelele ifuatavyo.

"Teacher........teacher......teacher........this is not fair.... She is copying from the orijino" Teh the the hapy nyu year.
 
Haiwezekani kwenye civics uambiwe mambo ya reproductive organs hiyo ni biology.
Labda kwa kuwa nimemaliza form 4 siku nyingi na mambo yamebadilika

Kweli kabisa Kabakabana. Isitoshe, thread hii mbona yafanana na ile ya Angel Nylon yenye title ya kiingereza: 'A Test to draw a picture?' Je Muganyizi thread hiyo ya Angel Nylon ulishaiona? Kama bado itafute huku jamvini halafu urudi mwaka mpya na neno.
 
Haiwezekani kwenye civics uambiwe mambo ya reproductive organs hiyo ni biology.
Labda kwa kuwa nimemaliza form 4 siku nyingi na mambo yamebadilika

Jamani mie nasema ni Civics kama huamini soma signature yangu. Nyie mnalazimisha iwe bios loh>>>
 
Kweli kabisa Kabakabana. Isitoshe, thread hii mbona yafanana na ile ya Angel Nylon yenye title ya kiingereza: 'A Test to draw a picture?' Je Muganyizi thread hiyo ya Angel Nylon ulishaiona? Kama bado itafute huku jamvini halafu urudi mwaka mpya na neno.


Biology teacher told all student in a test to draw a vagina. One girl felt shy and looked down, suddenly a boy shouted:
'Teacher she's copying'

Hapa unaona A4.............HAPA UNAONA KUIGILIZIA NA PENSELI.......... we vitu tofauti
 
Kweli kabisa Kabakabana. Isitoshe, thread hii mbona yafanana na ile ya Angel Nylon yenye title ya kiingereza: 'A Test to draw a picture?' Je Muganyizi thread hiyo ya Angel Nylon ulishaiona? Kama bado itafute huku jamvini halafu urudi mwaka mpya na neno.

yah mwenyewe nilishaiona nikacheka kweli,lakini hapa lol
 
Siku moja wanafunzi wa kidato cha nne walikuwa wanafanya mtihani wa Civics...wakakuta swali linalouliza kuwa " Draw and label the female reproductive organ yaani uke.

Dada mmoja alijaribu kuichora lakini ikamshinda..... basi akaamua achukue karatasi ya A4 ili aibandike ukeni kisha aje aigilizie na penseli. Kumbe pembeni Kaka mmoja yuko anamwangalia na alipoona kuwa huyo Dada atafanikiwa ikabidi amshtaki kwa mwalimu hivyo akapiga kelele ifuatavyo.

"Teacher........teacher......teacher........this is not fair.... She is copying from the orijino" Teh the the hapy nyu year.

Huu sasa ni uvivu wa kufikiri!Juzi tu imetoka thread kwa kiingereza,wewe umetafsiri na ku-modify kidogo!Si njema!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom