Wakongomani ni nini wanachopigania lakini, nimewahi kutumiwa video za watu wanavyouana Congo huwezi kutizama mara mbili hata Boko Haram hawafai.
Tshisekedi aliingia madarakani kwa ahadi ya kumaliza huu unyama lakini ameshidwa kabisa na sasa ni vyema asichaguliwe tena kwenye uchaguzi wa mwaka huu.
Labda wampe Bw. Martin Fayulu ambaye ndiye aliyeshinda uchaguzi wa mwaka 2018 kabla ya kufanyiwa hila na Kabila.