Random
JF-Expert Member
- Jan 8, 2017
- 791
- 740
Mwalimu mmoja amepoteza kazi baada ya kuwaambia wanafunzi wake kuwa Santa Claus ama maarufu kama Father Christmas hayupo ulimwenguni.
Mwalimu huyo alikuwa akifundisha darasa la kwanza huko New Jeaarsey nchini Marekani
Santa Claus au Santa kwa ufupi ni hekaya ya zamani ( mfano hapa kwetu; ni hekaya ya ABUNUASU, ESOPO, etc)ambayo yadaiwa babu huyo mwenye ndevu nyeupe zinazofika tumboni na ambaye huvalia mavazi meupe na mekundu na kofia kuwapatia zawadi watoto watiifu katika mkesha wa asubuhi wa siku ya Christimas
Source: Mwalimu afukuzwa kazi kisa 'Father Christmas'
Mwalimu huyo alikuwa akifundisha darasa la kwanza huko New Jeaarsey nchini Marekani
Santa Claus au Santa kwa ufupi ni hekaya ya zamani ( mfano hapa kwetu; ni hekaya ya ABUNUASU, ESOPO, etc)ambayo yadaiwa babu huyo mwenye ndevu nyeupe zinazofika tumboni na ambaye huvalia mavazi meupe na mekundu na kofia kuwapatia zawadi watoto watiifu katika mkesha wa asubuhi wa siku ya Christimas
Source: Mwalimu afukuzwa kazi kisa 'Father Christmas'