Fanya haya yatakusaidia

Fanya haya yatakusaidia

Bellyache

Member
Joined
May 28, 2020
Posts
13
Reaction score
18
Uko mtaani maybe huna kazi/umekata tamaa/school dropout na unakosa sehemu ya kuanzia. Unaweza fanya haya yatakusaidia

• Tengeneza marafiki wa rika na daraja tofauti. Piga story na watu.
• Tafuta chochote kitakacho kuweka busy.Eg kuchora,kuandika,kucheza mpira,msanii andika nyimbo,kusoma vitabu N.K.
• Punguza muda wa kuangalia/kutumia tv/social media [social destructives]
• Kwa kila pesa utakayopata either umepewa/umeokota save 15% to 30%.
• Jifunze kitu kipya kila siku.Eg kushona,kupika.
• Sikiliza muziki unaoupenda/ [usiruhusu stresses za kua mtaani zikutese].
• Kila wazo(idea) unalopata either la biashara au maisha kwa ujumla make sure unaliandika.
• Abudu unachoamini kama ni mskitini au kanisani nenda.
• Kua karibu na familia.
• Sikiliza ushauri.
• Kua msafi [smart]
#Bellyache
 
Hakika na mm sku hz nmeanza tabia ya kujichanganya maana zamani skuaga hv ila nataka niiache tabia ya kujitnga napitwa na fursa nyng
 
#The great tragedy in life is not death but life without a purpose #

Yaani usipogundua kusudi lako basi wwe sidhani kama maisha yako yanaweza kuwa na furaha ile ambayo unatakiwa kuwa nayo

Cha muhimu ni kusudi lako

Kusudi ni jambo lolote ambalo unaweza fanya kwa raha na kwa ubora kuliko anavyoweza kufanya mtu mwingine (hata kama mnafanya wengi ila kuna kitu utakuwa nacho cha tofauti kuliko wengine)huku ukigusa maisha ya watu na baadae hupelekea kuzivuta pesa

Watu wanakulipa kutokana na kile ambacho unafurahia kufanya ni Sawa na kupewa hela bure na Hiyo ndiyo maana halisi ya maisha
 
Uko mtaani maybe huna kazi/umekata tamaa/school dropout na unakosa sehemu ya kuanzia. Unaweza fanya haya yatakusaidia

•Tengeneza marafiki wa rika na daraja tofauti. Piga story na watu.
•Tafuta chochote kitakacho kuweka busy.Eg kuchora,kuandika,kucheza mpira,msanii andika nyimbo,kusoma vitabu N.K.
•Punguza muda wa kuangalia/kutumia tv/social media [social destructives]
•Kwa kila pesa utakayopata either umepewa/umeokota save 15% to 30%.
•Jifunze kitu kipya kila siku.Eg kushona,kupika.
•Sikiliza muziki unaoupenda/ [usiruhusu stresses za kua mtaani zikutese].
•Kila wazo(idea) unalopata either la biashara au maisha kwa ujumla make sure unaliandika.
•Abudu unachoamini kama ni mskitini au kanisani nenda.
•Kua karibu na familia.
•Sikiliza ushauri.
•Kua msafi [smart]
#Bellyache
Namalizia..kuwa smart
 
Uko mtaani maybe huna kazi/umekata tamaa/school dropout na unakosa sehemu ya kuanzia. Unaweza fanya haya yatakusaidia

•Tengeneza marafiki wa rika na daraja tofauti. Piga story na watu.
•Tafuta chochote kitakacho kuweka busy.Eg kuchora,kuandika,kucheza mpira,msanii andika nyimbo,kusoma vitabu N.K.
•Punguza muda wa kuangalia/kutumia tv/social media [social destructives]
•Kwa kila pesa utakayopata either umepewa/umeokota save 15% to 30%.
•Jifunze kitu kipya kila siku.Eg kushona,kupika.
•Sikiliza muziki unaoupenda/ [usiruhusu stresses za kua mtaani zikutese].
•Kila wazo(idea) unalopata either la biashara au maisha kwa ujumla make sure unaliandika.
•Abudu unachoamini kama ni mskitini au kanisani nenda.
•Kua karibu na familia.
•Sikiliza ushauri.
•Kua msafi [smart]
#Bellyache
Nimejifunza kitu
 
Asanteeeeee
Uko mtaani maybe huna kazi/umekata tamaa/school dropout na unakosa sehemu ya kuanzia. Unaweza fanya haya yatakusaidia

•Tengeneza marafiki wa rika na daraja tofauti. Piga story na watu.
•Tafuta chochote kitakacho kuweka busy.Eg kuchora,kuandika,kucheza mpira,msanii andika nyimbo,kusoma vitabu N.K.
•Punguza muda wa kuangalia/kutumia tv/social media [social destructives]
•Kwa kila pesa utakayopata either umepewa/umeokota save 15% to 30%.
•Jifunze kitu kipya kila siku.Eg kushona,kupika.
•Sikiliza muziki unaoupenda/ [usiruhusu stresses za kua mtaani zikutese].
•Kila wazo(idea) unalopata either la biashara au maisha kwa ujumla make sure unaliandika.
•Abudu unachoamini kama ni mskitini au kanisani nenda.
•Kua karibu na familia.
•Sikiliza ushauri.
•Kua msafi [smart]
#Bellyache
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom