View attachment 1745191
Huu ujasiri Watanzania tunaupata wapi?
TCRA,
Polisi , wako kimya, wameshindwa kumkata huyu aliyefoji account ya
Mzee Kikwete?
Mmeshindwa kwa
Kigogo, na Sasa mmeshindwa tena kwa huyu anayechafua na kuharibu image ya rais mstaafu.