BBA MKT
Member
- Jul 22, 2013
- 32
- 37
Msaada nina simu yangu tajwa hapo juu lakini kwa muda mrefu nimeshindwa kuinstall facebook application na facebook lite. Huko nyuma nilikuwa nayo na ilikuwa inafanya kazi vizuri kabisa. nilikuja ku Uninstall baadaye nilipotaka kuinstall ikagoma hadi leo. Nikidownloan inakubali but kuinstall inadisplay error 505. Space ya simu ni ya kutosha, and all other applications hazina shida.
Msaada wenu wakuu.
Msaada wenu wakuu.