Faida za Michepuko Kwa Mwanaume Katika Ndoa.

Faida za Michepuko Kwa Mwanaume Katika Ndoa.

Holoholo-Baba Kijacho

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2023
Posts
6,732
Reaction score
13,766
Wakuu,
Sote tukubaliane kuwa ktk ndoa mwanaume inampasa angalau awe na mchepuko angalau wa nje ili kuendelea kulinda ndoa yake tofauti na hapo ndoa itavunjika tu hata iweje.

Mara nyingi jambo hilo la michepuko ktk jamii hutafsiriwa katika dhana ambayo wengi wanaikubali kumbe pasipokujua ndio husababisha ndoa zao zivunjike.

Katika hili la mchepuko mwanaume anatakiwa kujitahidi ku play postive be safe. Matumizi sahihi ya kinga ili kuepuka kumwambukiza mke wako magonjwa kutoka nje ya ndoa

Zipo faida nyingi za kuwa na mpango wa kando kama ifuatavyo,

1. Humfanya mke wako apate muda wa kupumzika. Ukiwa huna mchepuko itakulazimu kila siku mke wako umshughulikie jambo ambalo huwaudhi wanawake wengi.
2. Kufanya mapenzi sana na mkeo kutafanya ule utaratibu wa family planning kukiukwa kwani itakuwa kira mara unafanya nae mapenzi hivyo kupata mimba ambayo hamkutarajia.
3. Kuwa na mchepuko kunaimarisha uhtaji wa penzi kutoka kwa mkeo kwao,kwani wewe usiwe kila siku wewe tu ndiye unaomba.

Nimemaliza.
 
IMG-20250730-WA0108.jpg
 
Ha ha haaa mnafikiri wake zenu hawana michepuko? Wakulana vizuri na kufuta midomo ..kimya kimya wanakuchoreni tu
 
Katika hili la mchepuko mwanaume anatakiwa kujitahidi ku play postive be safe. Matumizi sahihi ya kinga ili kuepuka kumwambukiza mke wako magonjwa kutoka nje ya ndoa
Ukiishaingia huko ndugu,mwenye maamuzi ya kutumia au kutotumia kinga ni huyo mchepuko,mengine ni kufurahisha jukwaa,ni heri kubaki njia kuu.
 
Hakika umenena!Ngja nkilud mtaa usiku navoenda kuoga nitaliacha hili andiko makusud!.najua mama j wang atashika t sim yang!
 
Back
Top Bottom