Faida za kuwa Single.

Zero IQ

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2016
Posts
13,985
Reaction score
25,198
Kuna faida Nyingi za kuwa Single zifuatazo ni baadhi tu.

1:unalala kitanda chote mwenyewe unagalagala utakavyo.

2:unakula zako mwenyewe.

3:unajamba kwa uhuru ndani.

4:unanepa ukiamua kwa sababu No stress.

Hasara kubwa ni kwamba
neno bby unalisikia kwenye movie hasa za wazungu wakiwa na watoto.


Zero Iq
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…