Faida za kufanya mapenzi

Faida za kufanya mapenzi

swahiba daima

Member
Joined
Apr 28, 2015
Posts
97
Reaction score
10
Samahani ndugu wanajukwaa. Naona habari za mapenzi zinapewa nafasi kubwa humu. Je kuna faida kufanya mapenzi kwa mwanaume au mwanamke? Kuna tatizo gani mtu asipofanya hzo habari zenu za mgegedo?
 
Subiri ukue, then pata mwenza and then enjoy ur sex life.
 
swahiba daima endelea kuishi hivohivo mambo ya malovee ni weka mbali na watoto hayana faida kwao
 
Last edited by a moderator:
Faida soma kwa bidii km upo shule au Fanya kazi kwa bidii kama ni mfanyakazi .mambo mengine ya mapenzi baadae
 
Samahani ndugu wanajukwaa. Naona habari za mapenzi zinapewa nafasi kubwa humu. Je kuna faida kufanya mapenzi kwa mwanaume au mwanamke? Kuna tatizo gani mtu asipofanya hzo habari zenu za mgegedo?
Mapenzi kama bado hujaanza WACHA USIGUSE NI BARAAAAAA,sio Balaaa..... kama unajipenda nafsi yako usiguse kwa sasa...
 
ukweli faida zake ni kubwa hata wewe umepatikana kwa watu kufanya mapenzi , pili usipofanya pia hakuna madhara yoyote utakayo yapata sana afya yako itakuwa imara zaidi
 
Sas km kusingekuwa na mapenz ww ungeleta vp ujinga wko JF? Wakt father wko na mother wko? Ndy ukapatkana ww?
 
nahisi usipofanya utachanganyikiwa kama mimi......kitu kinaenda mnara 24hrs
 
Back
Top Bottom