Faida ya wizi ni pale unapoiba bila kukamatwa

Faru fausta

JF-Expert Member
Apr 29, 2017
218
143
94bed27aaaf538ddc96cfd27e759571e.jpg
41aeb4033b4f30065462a87182583edf.jpg
huyu dogo badala ya kuamkia kanisani yeye anaamkia kuiba kuku sasa makubwa yamemkuta
 
Nina hasira na hawa wanaotuibia , mwezi uliopita wameanua banda langu wameondoka na kuku wameniachia vifaranga. Nikiwa mmoja wa waliowakamata sitasita kuchangia petroli, wanaudhi sana hawa vibaka
 
Man utd acheni wizi

Nyie mashabiki wa man u jiangalieni ase mtakuja kufa kizembe
 
Back
Top Bottom